REPORT FOR ZIMBABWE MEETING




MTANDAO WA VIKUNDI VYA WAKULIMA TANZANIA
MVIWATA – KAGERA
S.L.P  80
MULEBA- KAGERA- TANZANIA
Simu: +255 788 685 818/ +255 752 751 074

TAARIFA YA MKUTANO MKUU LA VIA CAMPESINA ULIOFANYIKA SHASHE ZIMBABWE TAREHE 09-10 SEPTEMBA 2014
Washiriki wa Mkutano Mkuu wa La Via Campesina Shashe Zimbabwe

1.0 Utangulizi
Mkutano wa Nchi wanachama Via Campesina Kanda ya Kwanza uliofanyika Zimbabwe katika kijiji cha Shashe MVIWATA iliwakilishwa na Ndg. Projestus Ishekanyoro Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi MVIWATA Taifa. Mkutano hou ulikuwa wa kujenga na kuimarisha umoja wa Via Campesin na wanachama kwa ujumla kuwa na sauti moja juu usalama wa chakula (FIGHT FOR FOOD SOVEREIGNTY IN AFRICA 1) na mabadiliko ya tabia nchi kama ifuatavyo.


2.0 Ajenda za Mkutano
2.1 Upatikanaji wa Maliasili (Access to Natural Resources)
·         Maji
·         Misitu
·         Ardhi
2.2                                                                                                         Haki za Binadamu (Human Rights)
·         Unyanyasaji wa wanawake
·         Haki za wazawa
·         Migogoro ya kivita
·         Uhamaji hasa maeneo ya vijijini
·         Vijana
2.3                                                                                                         Kilimo hai (Agroecology) kama
·         Mbegu
·         Masoko bora
·         Kulinda vyanza asili na kuviendeleza
·         Miundombinu
·         Mabadiliko ya tabia nchi
2.4                                                                                                         Sera za Umma (Public Policies)
·         Mkataba wa Maputo
·         Vita dhidi ya rushwa
·         Uvamizi wa masoko
·         Utegemezi wa nje

2.5                                                                                 Kuimarisha Taasisi (Institution Strenghtening)
·         Taasisi endelevu
·         Utafiti na taarifa
·         Mawasiliano
·         Ujinga (Wanawake)
·         UKIMWI, Malaria na Marale
·         Fursa katika taasisi binafsi
3.0 UZOEFU KUTOKA KILA NCHI MWANACHAMA
Kila mjumbe mjumbe kutoka kila nchi mwanachama walitoa uzoefu wao ambapo kwa upande wa MVIWATA nilitoa uzoefu kulingana na hayo yaliyotajwa hapo juu kama ifuatavyo:-
“……………..
1.   Political Context
Political as a global concern has much influence on development of agriculture. Currently; Farmers are fully involved on decision for various agenda of the country. For example MVIWATA has two representatives (WOMEN) in the National Parliament for New Constitution Amendment of our country.
2. For last year, MVIWATA has taken interventions related to FIGHT FOR FOOD SEVEREINTY IN AFRICA by fully participating in various events and campaigns with the country, Africa and world in general. At moment efforts has been put on Lobbying and Advocating small farmers to practice production based on local crops.
3. MVIWATA is acknowledging efforts done by the region to improve Agriculture in Africa so that we are able to compete in the World. Good example, this meeting has much to influence our partnership for present and future development.
4. MVIWATA is among other organizations that attempts to address threatening issue in the region such as Extreme Poverty, HIV/AIDS, Violence against Women, Global Climatic Change and Human Rights few to mention.  All of these have been strategically put on our focus for the upcoming 1 to 3 years.
5. To conclude, MVIWATA’s main activities for the next year (2014/2015) are based on Lobbying and Advocacy on issues like:-
·         Human Rights
·         Environmental Concern
·         HIV∕AIDS Campaigns
·         Markets for Small Holder Farmers Products
·         Organic Farming
·         Strengthening SACCOS and Banking Association
·         Strengthen MVIWATA reach large population in the country…………


4.0 MAJADILIANO NA MAAMUZI YALIYOFIKIWA
Ø  Kuzuia mfumo wa kidunia juu ya maamuzi katika kilimo, ubinadamu na ulimwengu kwa ujumla. Hii ni pamoja na jitihada katika kuhakikisha jamii zinashiriki zaidi katika kuboresha na kukuza shughili za uzalishaji kuendana na mazingira na tamaduni zao huku ikizingatiwa mazingira yanakuwa endelevu. Mfano ni kampeni dhidi ya Biashara huria, Utandawazi, Mogogoro ya kivita na uvujaji wa mariasili.
Ø  Kuwa na uhuru katika njia mbadala za upatikanaji wa chakula kupitia kilimo cha kijani, mbegu asilia na kuilinda ikolojia asili. Pia kupiga vita muungano wa mapindizi ya kijani Afrika (AGRA) na muungano wa mataifa makubwa (G8 New Allience for Food Security and Nutrition).
Ø  Kuwashirikisha zaidi vijana na wanawake katika harakati za mabadiliko kwa kuweka upana zaidi wa  maamumuzi katika ngazi zote.
Ø  Kuimarisha La Via Campesina kama chombo kinachokua na kuendeleza mapoambano  kupitia uboreshwaji wa mbinu za mawasiliano, utafiti na mafunzo ili kuchambua, kutathmini na hatimaye kuwa na mbinu mpya za kiutendaji na kutambua kuwa uzoefu kutoka La Via Campesina ni suala la kipaumbele.
Ø  Kuimarisha ushirikiano miongoni mwa warishirika na taasisi mbalimbali za kidunia zenye mtazamo na malengo sawia katika kampeni zinazoratibiwa na La Via Campesina.
Hata hivyo katika mkutano huo iliazimiwa kuwa nguvu kubwa itawekwa katika mambo yafuatayo:
                    i.        Kapeni dhidi ya unyanyasaji wa wanawake (The “End Violence against Women Campaign).
                  ii.        Kampeni ya kidunia juu ya kilimo asilia (Agrarian Reform)
                iii.        Kampeni juu ya mbegu asilia, urithi wa mira na desturi (Seeds, Heritage of the People for the Good of Humanity Campaign)
                 iv.        Kuzindua kampeni dhidi ya madawa ya viwandani (Campain against Tox  Agro chemicals) katika ngazi ya kimataifa tarehe 3 Desemba vijijini na mijini.


5.0 HITIMISHO
Ili kufanikisha mikakati iliyokubalika katika mkutano huu kila taasisi mwanachama alipewa jukumu la kuandaa Mapendekezo na kuyatuma La Via Campesina ndani ya wiki mbili ambapo MVIWATA Tanzania ilipewa kuandaa mapendekezo juu ya Kujenga Uwezo wa Kitaasisi (Institutional Strenghtening). Pia ilitolewa ratiba ya kazi kwa shughuli zitakazofanyika Oktoba na Novemba mwaka 2014. Vile vile mkutano ulilidhia MVIWATA kuandaa Mkutano wa Kanda (Regional Meeting 1) mwezi Aprili 2015.
Baadaye tulipata fursa ya kutembelea vikundi vya Wanachama wa ZIMSOFF kujionea kilimo hai.


Comments

Popular posts from this blog

DONORS VIST REPORT- SOCIAL ACCOUNTABILITY MONITORING