Posts

Showing posts from January, 2017

LOGO

Image

TAARIFA YA MREJESHO, UCHAMBUZI, KUTEMBELEA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA MULEBA

                                                                                                       Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania MVIWATA – KAGERA S.L.P 80 MULEBA- KAGERA- TANZANIA E-mail: mviwata.kagera@yahoo.com/ Website: www.mviwata-kagera.blogspot.com Simu: +255 788 685 818/ +255 752 751074 TAARIFA YA   MREJESHO, UCHAMBUZI, KUTEMBELEA MIRADI YA   HALMASHAURI YA WILAYA MULEBA    Kut...

MATOKEO YA UBIA WA MVIWATA KAGERA NA ANSAF

Image
Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania MVIWATA – KAGERA S.L.P 80 MULEBA- KAGERA- TANZANIA E-mail: mviwata.kagera@yahoo.com/ Website: www.mviwata-kagera.blogspot..com Simu: +255 788 685 818/ +255 752 751 MATOKEO YA UBIA WA MVIWATA –Kagera   NA   ANSAF . 1.Utangulizi. MVIWATA(Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania)   ni chombo   cha kuwaunganisha wakulima wadogo ili kuwawezesha kuwa na   sauti ya pamoja katika kufikia fursa za kijamii,kiuchumi na kisiasa   kwa   njia ya ushawishi na utetezi.Mviwata Kagera ni tawi la Mviwata Taifa.Mviwata Kagera inafanya kazi katika mkoa kagera,mpaka sasa tumeweza kufikia wilaya ya tano.( Muleba, Bukoba, Misenyi, Ngara na Karagwe) na ofisi yake ipo wilaya Muleba Mjini. MVIWATA- Kagera iliomba ubia na ANSAF katika kuhakikisha maendeleo ya sekita ya kilimo na kuwajengea uwezo wakulima wadogo kudai haki zao. ANSAF kwa kutambua umuhimu wa kuendeleza sekta ya kilimo nchini kwa kuhakikisha uwaj...